AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Samia Suluhu ametoa ndege maalum kuipeleka Yanga SC jijini Mbeya kwa ajili ya mchezo dhidi ya Mbeya City, Juni 6 mwaka huu.
Yanga itaelekea Mbeya baada ya kupata chakula cha jioni na Rais Samia Ikulu jijini Dar es Salaam leo kama pongezi kwa juhudi walizozionesha katika mashindano ya Kombe la Shirikisho la Afrika.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK