Rais Samia Suluhu Atoa Ndege Kuwapeleka Yanga Mbeya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rais Samia Suluhu ametoa ndege maalum kuipeleka Yanga SC jijini Mbeya kwa ajili ya mchezo dhidi ya Mbeya City, Juni 6 mwaka huu.

Yanga itaelekea Mbeya baada ya kupata chakula cha jioni na Rais Samia Ikulu jijini Dar es Salaam leo kama pongezi kwa juhudi walizozionesha katika mashindano ya Kombe la Shirikisho la Afrika.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad