Ally Kamwe amejiuzulu kama Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC baada ya kuhudumu kwa misimu miwili tangu tarehe 25 Septemba 2022. Katika andiko lake Instagram, akiaga amesema:
"Mtumbuizaji mzuri anatakiwa kujua ni wakati gani wa kuondoka jukwaani. Kwa hekima hii, nawaambia kuwa ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka jukwaani. Nimesimama kwa miaka miwili juu ya hili jukwaa, tumeimba, tumecheza, tumefurahi, na tumeshinda pamoja. Muda wangu umemalizika, asanteni sana. Tutaonana tena nikiwa na kitu kizuri cha kuwaonyesha juu ya jukwaa."
-------------------------------
Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!
GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!
Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.
Nafasi za Ajira Bonyeza Hapa