Rais wa CAF aagiza uchunguzi furugu walizofanyiwa Simba Libya« NyumaMbele »Comments (0)Listen
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Africa (CAF), Patrice Motsepe jana katika Kikao Cha Watendaji wa CAF kilichofanyika KENYA aliagiza uchunguzi dhidi ya Vurugu wakizofanyiwa Simba nchini Libya.
Motsepe ameyasema hayo jana wakati akihojiwa na waandishi wa habari alipohudhuria Kikao hicho.
-------------------------------
Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!
GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!
Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.