Alex Ngereza: Aziz K Kaisha Vibaya Mnoo, Hakustaili Kuwa MVP
"Kuna namna kamati ya tuzo ilijichanganya msimu uliopita kumpa Azizi ki tuzo ya kiungo bora na mchezaji bora wa msimu kwasababu hajawahi kuwa na muendelezo mzuri wa kiwango chake ukiangalia alivyoanza kucheza msimu huu na ukamuambia mtu huyu ndio MVP wa msimu uliopita lazima akushangae ilikuwa bahati kufunga idadi kubwa ya magoli kusema ukweli Feisal salum alistahili tuzo ya MVP" Anasema Alex Ngereza.
-------------------------------
Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!
GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!
Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.