Bonge moja la mechi hasa kipindi cha Pili.Yanga bado wanaendelea walipoishia katika Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara.
Kipi kichwa cha HABARI kizuri kwa mchezo huu..😊
✅️ Derby ya GSM imefana sana....
✅️Yanga SC mwendo mdundo
✅️Yanga lidude likubwa
✅️Singida wapoteza mchezo wao wa kwanza
✅️Kiko wapi Singida Black Stars
FT: Singida Black Stars 0-1 Yanga, Goli limefungwa na Pacome
-------------------------------
Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!
GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!
Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.
Nafasi za Ajira Bonyeza Hapa