"Sisi hatufanani na wao na timu yetu ni bora kuliko timu yeyote kwa sasa na haiwezi kufanana na timu yeyote kwa ukanda huu wa Afrika mashariki".
.
"Sisi tumefungwa Algeria na wo wamefungwa Algeria wasiseme kama tunafanana na kama wote tupo mochwari sisi ni wahudumu na wao ni maiti".
.
Anasema; Ahmed Ally meneja habari.
-------------------------------
Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!
GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!
Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.
Nafasi za Ajira Bonyeza Hapa