"Ni Jambo la Furaha kuona Mshambuliaji wenu anafunga kuna wengine mpaka wakaombewe kufunga sio Jambo dogo wana Simba SC tumlinde mchezaji wetu"
Ahmed Ally, Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC.
“Suala la wachezaji kuombewa limeshika kasi ,kati kati tulikuwa tunaona wachezaji wapo Gym na Ma-trainer , lakini sasa hivi kila mchezaji anaombewa” - @luambano77
“Suala la wachezaji kuombewa wengine sio wao wanataka ila watu wanaowazunguka , mchezaji anaambiwa wewe sio bure twende ukaombewe”
-------------------------------
Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!
GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!
Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.