Inaelezwa kuwa Azam FC inajiandaa kumpa mkataba mpya kiungo wao Feisal Salum 'Fei Toto' utakaomfanya adumu kwenye timu hiyo hadi mwaka 2028.
Mkataba huo utamfanya nyota huyo awe analipwa mshahara wa USD 12,000 sawa na Tsh million 31 Kwa mwezi.
-------------------------------
Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!
GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!
Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.
Nafasi za Ajira Bonyeza Hapa