Msimu huu Simba kapiga Azam,Yanga kapigwa na Azam halafu Simba kapigwa na Yanga😄
Bado mechi moja Simba na Yanga wakamilishe mechi 15 Za Round ya kwanza.
Simba wako kileleni kwa tofauti ya alama moja mbele ya Yanga.
Kabla ya kupoteza mechi Yao kwa kwanza dhidi ya Azam,Yanga walipiga mechi 8 bila kupoa wala kuruhusu goli,baada ya kufungwa na Yanga,Simba wamepiga mechi 8 mfululizo bila kudondosha alama.
Trust me Msimu huu tunakwenda kuwa na ligi ngumu sana,sitarajii bingwa kupatikana kwa tofauti ya alama 5 au 6 BIG NO!
Natarajia bingwa atapatikana kwa tofauti ya alama 1 au magoli ya kifungwa na kufunga.
Yes! Ligi ya msimu huu ni ngumu sana
-------------------------------
Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!
GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!
Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.