Sijui Mutale amepatwa na nini?
"Muda mwingi anapoteza mipira,pasi zake nyingi zinakosa njia,miguu yake imekosa magoli na assist."
.
"Inawezekana anahitaji muda wa kuzoea ligi,ila atambue hii ni Tanzania sehemu ambapo hakuna project za muda mrefu."
.
"Haraka sana anatakiwa kurudi kwenye uwanja wa mazoezi na kufanyia kazi mapungufu yake….bado Wana-Simba wanamdai sana."
.
Anasema; Mchambuzi Hans
-------------------------------
Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!
GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!
Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.