Mshambuliaji wa Tabora United,Herithier Ebenezer Makambo amepeleka kilio huko mitaa ya Chamazi baada ya kufunga magoli mwili yaliyozamisha Azam FC kwenye mzinga wa asali huko kwenye dimba la Ally Hassan Mwinyi. Hakika sasa ni Kila anae pita mbele ya Tabora United lazima Ang'atwe na nyuki
-------------------------------
Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!
GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!
Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.
Nafasi za Ajira Bonyeza Hapa