Ebu uangalie msimamo wa Kundi A wa Ligi ya Mabingwa Afrika, kule mkiani ndiko maskani ya Yanga. Hivyo Yanga inautaka zaidi mchezo wa leo kwa sasa ikiwa kama ndio FAINALI yao. Yanga Inafahamu kwamba kupoteza mchezo wa leo itawaweka kwenye wakati mgumu zaidi wa kufuzu robo fainali, kwani itasaliwa na mechi tatu ambazo italazimika izishinde zote ili kuvuna pointi tisa, kitu kinachoonekana ni kigumu zaidi. Kila la kheri Mabingwa wa nchi @yangasc 🇹🇿🇹🇿
-------------------------------
Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!
GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!
Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.