Klabu ya Yanga SC imefanya mazungumzo na Kiungo Aziz Andabwile ili kufikia makubaliano ya kuachana nae katika dirisha dogo la uhamisho.
Kiungo Aziz Andabwile anatajwa kupisha usajili mpya wa Yanga SC katika maboresho ya klabu hiyo.
Aziz Andabwile aliwahi kucheza katika klabu ya Mbeya City FC kabla hajajiunga na Singida Big Stars.
-------------------------------
Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!
GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!
Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.