Afisa habari na mawasiliano wa klabu ya Simba Ahmed Ally amemtaka kocha mkuu wa klabu ya Yanga kuomba radhi baada ya kuiita Ligi ya Tanzania Bara dhaifu.
“Kocha Ramovic anapaswa kuomba radhi kwa kuiita Ligi ya Tanzania dhaifu, au afukuzwe. Kama ligi yetu ni dhaifu mbona amekuja kufundisha huku? Hii kauli inapaswa kupingwa vikali."
- Ahmed Ally, Afisa habari na mawasiliano wa klabu ya Simba.
-------------------------------
Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!
GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!
Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.