Edo Kumwembe: Tuipongeze Simba, Wanaweza Kufika Fainali, Wachezaji Wapya Noma
Simba imebadilika zaidi. Wanaweza kwenda hata fainali kama wakitaka. Wanacheza kwa kasi kubwa tofauti na msimu mmoja uliopita. Wachezaji wengi wapya wamekuwa muhimu katika kikosi cha Simba. Usajili wa safari hii haukukosewa sana na wachezaji wapya wamekuwa na mchango mkubwa.
.
Kocha Fadlu Davis naye amekuwa na mchango mkubwa ukiangalia namna timu inavyocheza unaona kabisa kuna kitu wanatafuta na kweli wanakipata. Mpira ni mchezo wa hadharani na sasa ni wakati wa kuwapongeza Simba kwa kurudisha makali” — Edo Kumwembe.
-------------------------------
Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!
GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!
Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.