Lissu "Mbowe Alidanganya Hakutaka Mimi Nigombee"




Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amesema Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe amesema uongo kuwa waliwahi kujadiliana na Lissu akataka vyote Urais na Uenyekiti ambapo amesema sio kweli bali yeye alikuwa tayari kugombea Uenyekiti na amuachie Mbowe agombee Urais lakini Mbowe akakataa.

Akiongea leo January 06,2025 baada ya kuwasili Mwil. Nyerere Airport Jijini Dar es Salaam akitokea nje ya Nchi, Lissu amesema “Sio jambo zuri kusema Mwenyekiti amesema uongo, kwenye hili amesema uongo, tulikutana kwa siku 3 hapa Msimbazi Kanisani tukipatanishwa, tukizungumza juu ya hiki kinyang’anyiro, na kwa siku 3 zote Mwenyekiti alisema yeye hajaamua yeye hajaamua kugombea nafasi yoyote, Katibu Mkuu John Mnyika ni Shahidi”

“Nisiseme wengine waliokuwepo lakini Katibu Mkuu Mnyika ni Shahidi kwa siku 3 tukizungumza kwa pamoja, Mwenyekiti hataki Mimi nitie nia lakini akiulizwa wewe anasema ‘Mimi sijaamua’ kwa siku 3, sijawahi kuzungumza nae chochote nje ya hapo, kwenye hizo siku 3 Mimi nikasema tunakoenda sio kuzuri Mimi nipo tayari nigombee Uenyekiti wa Chama Urais nimuachie Mwenyekiti akakataa katakata”

“Kwahiyo habari kwamba Mimi nataka vyote siridhiki, Mwenyekiti amedanganya, alikataa Mimi nisigombee Uenyekiti wala Urais akasema inabidi tuangalie kwanza tupime upepo sijui nini ila yeye akasema hajaamua”
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI

    PIA KWA WALE WANAOGOMBEA KUNA OFFER YENU ILI USHINDI UWE UPANDE WAKO

    (Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajili ni azina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)


    MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA

    kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

    (KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
    (HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
    MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.

    NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.

    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
    KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad