Timu zilizofuzu 32 bora CRDB Bank Federation Cup 2024/2025

Timu zilizofuzu 32 bora CRDB Bank Federation Cup 2024/2025


Michuano ya Kombe la Shirikisho la CRDB, linalojulikana pia kama Kombe la FA Tanzania, imefikia hatua ya 32 bora. Katika hatua hii, vilabu bora kutoka kona mbalimbali za nchi vitapambanishwa katika kinyang’anyiro cha kusaka ubingwa wa kombe hili kwa msimu wa 2024/2025. Mashindano haya, yanayozidi kupata umaarufu mwaka hadi mwaka, yameendelea kutoa jukwaa kwa vilabu vyenye historia na vile vinavyoibukia kuonyesha uwezo wao. Kutoka vilabu vya Ligi Kuu ya NBC hadi vile vya madaraja ya chini, mashindano haya yamejumuisha timu zinazoleta ushindani wa hali ya juu.


Timu zilizofuzu 32 bora CRDB Bank Federation Cup 2024/2025

Zifuatazo ni timu ambazo zimefanikiwa kufuzu hatua ya 32 bora katika michuano ya Kombe la Shirikisho la CRDB (CRDB Bank Federation Cup 2024/2025) kwa msimu wa 2024/2025:


Green Warriors

TMA Stars

Mbeya City

Cosmopolitan FC

Polisi Tanzania

Stand United

Towns Stars

JKT Tanzania

Namungo FC

Mambali Ushirikiano

Pamba Jiji

Transit Camp

Biashara United

KMC FC

Singida BS

Mashujaa FC

Kundi la Pili

Coastal Union

Leo Tena

Songea United

Mtibwa Sugar

Fountain Gate

Azam FC

Bigman FC

Kiluya FC

Girrafe Academy

Geita Gold

Tanzania Prisons

Kagera Sugar

Mbeya Kwanza

Tabora United

Young Africans

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad