Web

Mchome Amkosoa Lissu: "Anatumia Udikteta Kukiendesha Chama"


Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Mwanga, Lembrus Mchome, amemtolea lawama kali Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Tundu Lissu, akimtuhumu kuendesha chama kwa mtindo wa udikteta na kukandamiza uhuru wa wanachama kutoa maoni.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad