SIMUAMINI TENA MKE WANGU...NIMFANYAJE MKE WA NAMNA HII?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mimi na wife tumebahatika kupata watoto 2 wa kiume! Mm nafanya kazi dsm yy anafanyia mara. kijana wetu yupo grade 1 kwenye hizi academy! Takriban wiki kadhaa nilienda kumsabahi! Nije kwenye pt niligundua amekuwa akiwatumia ndg zake pesa nyingi paspo kunijulisha nahc kuna business wanafanya yy na dadake! Niligundua baada ya kumwambia kwamba mm kulingana na ujio wangu siko fresh kiuchumi hivo jitahidi ada ya mtoto make ndo wanafungua mwezi wa tisa kwa kifupi alinipa majibu ya kunikatisha tamaa akadai hana hela na isitoshe kwenye ubini wa mtoto anaandikwa yy au mm? Km sitaki kumsomesha akae nyumbani! Nikamuuliza km waweza tumia ndg zako malaki ya pesa unashimdwa nn kumlipia mwanao? Akakanusha wakati mm nilicheki kwenye mpesa ametuma pesa two times tena last month! Tukazinguana sana mm nikapanda basi nikasepa kwa ufupi hana mpango wa kusaidiana na mm ktk kusukuma gurudumu! Nimfanyaje mke wa namna hii?

Source:JF
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

18 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. mchunie kwanza ili ujue msimamo wake,Kama akiendelea kuxema watoto n wako 2 mteme kabxa

    ReplyDelete
    Replies
    1. Labda hujajua maana ya ndoa ww! Unadhan watu hachana ovyoovyo tu.

      Delete
  2. Pepo mchafu kamwingia. Nenda kwa baba yake na mama yake na ushahidi uone watakuambia nn ndo uchukue maamuz. Uckurupuke

    ReplyDelete
  3. Wewe pesa zako unafanyia nn? Isiwe ww unaponda mali ukitegemea kuangushia kwa mkeo. Kimsingi hayo ni majukumu ya baba, mi sijawahi kulipiwa ada na mama. We kama una nyumba ndogo jipange, ndo uanaume. Akiamua kukusaidia mkeo ni kwa hiari sio lazima.

    ReplyDelete
    Replies
    1. we mavi kweli jukumu la kusomesha ni la baba au wazazi wote wawil acha kuwa local think global, nyie ndo mavi kati ya mavi.

      Delete
  4. Fala kweli wewe. Sasa akiwatumia ndg zake pesa wewe kinakuuma??? Na hata akiwa na business na ndg zake kwani kuna ubaya??jiulize na jichunguze kwnn mpaka kaamua kufanya hivyo bila kukuambia!inawezekana kuna mambo unamfanyia either kakuomba pesa kutumia ndg zake ukawahi kumzingua so afanye nnn. Wataka aendelee kuwa mtumwa kwako? Na mtoto c wenu wote? Pesa zako uweke heshima baa yeye zake ndio alipe ada. Yahaya kweli wewe. Umenichefua

    ReplyDelete
    Replies
    1. na ndo yale yale mavi, soma vizur status sio kukurupuka kujibu coz a wewe unajua kuandika, angekuwa anafanya biashara nzuri kungekuwa na haja ya kusema, maviiiiiiii.

      Delete
    2. mdau uko sawa kabisa hiyo ndo midume inayoongoza kuweka heshima bar inasahau majukum sasa alitaka amuoe awe mtumwa wake? na akimuendekeza atamuachia majukum yote yako kama yamerogwa siku hiz hayo mavi unayo tumboni mxciuuuuuuu

      Delete
    3. Wanaume wengi wanajua kuoa tu. Mfano ni mim nina kazi ni mwalim nna ndoa ya kanisan naish arush mume mume mwanza tuna mwana mvulana miez tisa. Huyu mume hatumi hela za matumiz kisa nina kazi lakin mamake kila mwez anamtumia. Hivi nimfanyeje mume kama huyu. Ukimwomba hela anatumahata elf hamsin haifiki. Sasa nikiamua kufanya biashara zangu bila kumshirikisha nina kosa? Kazi za baathi yao ni kuhonga tu.

      Delete
  5. Ukweli ni kwamba jukumu la kulea familia kwa misingi ya dini za kikristo na kiislam ni jukumu la mume ila kutikana na mabadiliko ya kimaisha ni kusaidiana ni muhimu, ila mara zingine wanaume huwa mnajisahau. Kwa hiyo chukua nafasi yako km kichwa cha familia.. kumuacha mkeo sio solution.

    ReplyDelete
    Replies
    1. huko ni kukariri yeye anafanya kazi ili hela zake apeleke wapi ka hatki ata kulea watoto wake, ziko wapi sasa haki sawa wanazodai wanawake, ka hata kulea ni jukumu la mwanaume.

      Delete
  6. Ukweli ni kwamba jukumu la kulea familia kwa misingi ya dini za kikristo na kiislam ni jukumu la mume ila kutikana na mabadiliko ya kimaisha ni kusaidiana ni muhimu, ila mara zingine wanaume huwa mnajisahau. Kwa hiyo chukua nafasi yako km kichwa cha familia.. kumuacha mkeo sio solution.

    ReplyDelete
  7. kaka ushauri wangu ni kwamba jaribu kuchunguza kwa makini ka kuna lolote baya ambalo linaendelea kwa mke wako hakika utaligundua, jaribu kufanya safari za kushtukiza for sure utafaham, achana na wasenge hao wanokariri kuwa kulea ni juku,u la baba pekee, pengine hawajui nn maana ya ndoa ndo maana bado waanunua malaya na wengine kuhongwa ndo maana wanasema kulea ni jukumu la baba.

    ReplyDelete
  8. Ndugu tumia busara katika kufanya maamuzi hasa kwa kufanya uchunguzi wa kina,utagundua ukweli ni upi!

    ReplyDelete
  9. Ukweli ni kwamba jukumu la kulea familia kwa misingi ya dini za kikristo na kiislam ni jukumu la mume ila kutikana na mabadiliko ya kimaisha ni kusaidiana ni muhimu, ila mara zingine wanaume huwa mnajisahau. Kwa hiyo chukua nafasi yako km kichwa cha familia.. kumuacha mkeo sio solution.

    ReplyDelete
  10. Usiwe na wenge ww jaribu kukaa nae mfanye maelewano

    ReplyDelete
  11. Acha ubwete. Pesa zako wew wapeleka wapi" labda utueleze unazifanyia ni.. au una wanawake tele ndo maana hakuelew kaamua bora afanye maisha yake. Hata ukisema umwache utaoa wangap kama tatizo ni ww! Acha upumbavu!

    ReplyDelete
  12. Mtoto mwenyewe mmoja afu eti umeshaanza kushindwa kumlipia ada,sikatai kuwa hali ya kiuchumi uwa inaweza badilika lakini sijaelewa wewe pesa yako inaenda wapi,kaa ukijua kila kitu Mungu kakiweka kwa makusudi Mwanaume anaamuliwa kula kwa jasho lake na ndiye kichwa cha familia,Lakini inavyoonekana kwako wewe umetumia kigezo cha kazi ya mkeo kuweza kuendesha familia yako,sikatai kuna kusaidiana lakini pesa ya mwanamke inabaki kuwa ya kwake labda aamue kwa hiari yake kuchangia,kazi aliyepewa mwanamke ni kumzalia mwanamme usione tu hali ngumu ya maisha wanawake tunanatakiwa kusoma na kufanya shughuli za kuweza kuingiza kipato,mwananmke atafute kwa jasho bado akuzalie watoto bado utake ele yake kwa ajili ya kuendeshea familia yako ili ya kwako upeleke kwa malaya uko baa bila shaka wewe basi utakuwa ni mkia ktk familia yako na si kichwa maana hujui majukumu yako na haujitambui wewe ni nani.

    ReplyDelete

Top Post Ad