AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na mpekuzi wetu , Mwigulu ameitupia lawama kambi ya upinzani na kudai kuwa kambi hiyo imekuwa ikitumia nguvu nyingi badala ya akili na maarifa huku ikisahau kuwa Spika pekee ndo mwamuzi wa mwisho kwa jambo lolote ndani ya bunge....
Mwigulu alienda mbali na kudai kuwa, pamoja na vurugu hizo ambazo zimekuwa zikifanywa na wapinzani kwa lengo la kujiimarisha kisiasa, chama chake bado kina imani kubwa ya kushinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu wa 2015 kwa kuwa wapinzani hawana SERA wala UBAVU wa kushindana na CCM zaidi ya makelele na vurugu.
Baada ya Mwigulu kugusia michakato ya uchaguzi mkuu ujao, mpekuzi wetu alitaka kukata kiu yake juu ya tetesi zilizopo kuwa CCM wanamwandaa kugombea URAIS ...
Akijibu swali hilo, Mwigulu ameweka wazi kuwa yeye yupo tayari kuwatumikia wananchi katika nafasi yoyote ile na kwamba wao ndo wenye maamuzi ya mwisho.
"Wananchi ndo waamuzi wa mwisho.Endapo wataona ninafaa kwa Rais, basi ntafanya hivyo kwa sababu nipo tayari kuwatumikia katika nafasi yoyote.
"Najua vijana wengi wananichukia kutokana na chuki zinazopandikizwa katika mitandao ya wapinzani. Ukweli ni kwamba chuki hizo zinatokana na ukweli kwamba mimi ni mtu ninayejua madhaifu mengi ya wapinzani.
"Natoa wito kwa vijana wenzangu kuwapuuza watu hao kwa kuwa hawana nia njema na taifa hili"..Mwigulu
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mnafiki mkubwa ,,,,moja mimi hupati Kira yangu hata kwa mtutu,,,wewe ni hatari kwa nchi mbinu zako zinaonyesha si nzuri unatuhuma nyingi unazoshutmiwa na wanasiasa kuwa Una mchezo mbaya ambao haudhamini hata uhai wa mpiga kura wafanya haya sasa je ukiwa amiri jeshi itakuaje
ReplyDeleteTena hajijui..hii sio miaka ya 39 ambapo watanzania wengi walikua hawajafunguka..chukua hiyo form tuoane utamwongoza nani..utapata kura yako tuu.wala usihangaike mnafiki mkubwa wewe
DeleteWananchi ..wapo kimya msifikiri tumekaa kimya hatuyaooni..tulishaelimika vya kutosha hatuhitaji kuambiwa...ni bora tumalizwe but sio sio kufanya makosa tena 2015
DeleteMi ntakuchagua kuwa RAIS wa stand ya ubungo maana unapenda saana malumbano kama makondakta na unafanana nao na mtambaa wako shingoni ka dereva wa guta
ReplyDeleteUuwiiii!Mwigulu 'toto lililozaliwa vibaya' uwe rais wa nchi gani? Mikono yako tayari inanuka damu.Una tofauti gani na madikteta musolini,bokassa,sani abacha,duvalier,idd amin na adolf hitler? Tanzania haiitaji rais shoga!
ReplyDeleteWewe msenge utamuongoza nani,wakati hata kujiongoza mwenyewe umeshindwa? Yule basha wako watangu enzi tunasoma shule Ilboru atakukubalia?
ReplyDeletewe mzee lazima utakuwa na matatizo ya kiakili! kwanza hamna kijana mwenzako hapa ww ni mzee... kma kujiongoza ww tu umeshindwa utawezaje kuongoza nchi kweli,, kama mkeo ndo kakushauri hvyo rudi ukajipange kiakili kwanza...
ReplyDelete