WANAWAKE SINGLE WAANDAMANA KUSHINIKIZA SEREKALI IWASAIDIA WAOLEWE

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Amini usiamini Nigeria ina upungufu wa wanaume wa kuoa!! Kiasi kwamba wanawake wanaotamani kupata wenza na kutengeneza familia wameamua kuchukua hatua. Zaidi ya wanawake elfu 8 walio single jana wameandamana kutokana na upungufu wa wanaume wa kuwaoa.

Lengo la maandamano yao ni kuishinikiza serikali kuwasaidia waolewe, kivipi? (Ndio swali hata mimi nimejiuliza!)

Wanawake waliojikusanya na kuandamana ni mkusanyiko wa 5380 waliopewa talaka, 2200 ni wajane 1200 yatima, na 80 wengine. Wanawake hao wamedai kuwa hawana uwezo hata wa kununua chakula cha siku kwa sababu hawana wanaume wa kuwasaidia ndio maana wanahitaji wanaume wa kuwaoa na kuwasaidia mahitaji yao.

SOURCE: NAIJA GISTS
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

16 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Waje Tanzania.kuna wanaume wanakosa wake.asee

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ooh really??!! Tz kuna wanaume wa kuowa i dn't think so.

      Delete
    2. Hahaha mdau ulivyomuuliza doh na kweli tz hakuna waoaji banah

      Delete
    3. Eeh labda aseme waje Tanzania ile wao waoe wanaume

      Delete
  2. Karibuni Tanzani ila tu mfate taratibu za uhamiaji msije mkapitiwa na operation kimbunga

    ReplyDelete
    Replies
    1. waende kenya,make wanaume wa kenya wanalalamika kwa kunyanyaswa na wake zao,wakienda na kuwa wapole watajimegea kama wakwao vle

      Delete
    2. You are very right

      Delete
    3. Wasije hapa Kenya. Wake wanyanyasaji ni wa Nyeri tu. Labda waelekee huko!

      Delete
  3. sasa.. wacha nikae vizuri maana it's about to get REALLY REALLY interesting.

    ReplyDelete
  4. dalili moja wapo ya kiama ni wanawake kuwa wengi duniani...zishaanza kujionyesha

    ReplyDelete
  5. Lakini kuna haja ya kuwaelimisha wanawake wa kiafrika wajifunze kujitegemea, hii ya kutegemea wanaume kama pato kwao haijakaa vizuri.kwanza kuoa au kuolewa sio kitu ya lazima

    ReplyDelete
  6. Mimi nakasirika sana mtu anaposema TZ hamna mwoaji wakat huu mwaka wa 5 mi natafta mke wa kuoa lakn sjapata mpaka leo.yani nimejari hata mama ntilie,nimeshindwa,nikahamia kwa mabek 3 nako hali bado ngumu.hao wangekuja huku huenda ningebatisha 1

    ReplyDelete
  7. asee waje kabisa bongo. binafsi natafuta huu mwaka wa 5 sijaona wa kuoa

    ReplyDelete
  8. asee waje kabisa bongo. binafsi natafuta huu mwaka wa 5 sijaona wa kuoa

    ReplyDelete
  9. Bad news

    I thought nigerian men do hv hose power

    ReplyDelete

Top Post Ad