AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ilikuwa wakati Diamond akisalimiana na mastaa mbalimbali, alipofika kwa Wolper aliigusa kidogo, ikaanguka
Paparazi wetu alipomuuliza Wolper sababu ya glasi hiyo kuvunjika, alijibu: “Hata mimi sijui nini kimetokea, tulikuwa tunasalimiana ghafla tu glasi yake ikadondoka na kupasuka, sijui ni miujiza au nini loh!”
Diamond naye akatia neno: “Nimeshtukia glasi ipo chini tu, daah! Sina hata cha kueleza juu ya hili.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hi nayo mmeona ni habari ya kutuletea?mkikosa habari msilazimishe nyie wadaku
ReplyDeleteumenena vyema
Deletewolper kafulia hana jipya
ReplyDeletekumbe huu ndio upumbavu wenu sasa ndio iwe nini wewe ulioandika hujawahi kuvunja kikombe au gilasi? mbona hujaandika msilete habari za kijinga hapa kama hana habari ni bora usome habari za wenzio
ReplyDeletekumbe huu ndio upumbavu wenu sasa ndio iwe nini wewe ulioandika hujawahi kuvunja kikombe au gilasi? mbona hujaandika msilete habari za kijinga hapa kama hana habari ni bora usome habari za wenzio
ReplyDeleteKwel umeishiwa we fala we rndelea tu kucopy Fffff Rrr
ReplyDeleteNonsense,leteni habari za maana
ReplyDeletemiujiza ya mavi hebu kwendeni zenu huko upuuzi mtupu,na huko kwake akivunja glass anasema pia ni miujiza,mxiuuuuuuu
ReplyDelete