AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa ya taasisi hiyo iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi hiyo, Thomas Ngawaiya ilisema uamuzi huo ni kutokana na kauli za dharau za Banda dhidi ya viongozi wanaoshughulikia mgogoro wa Ziwa Nyasa.
“Serikali imshtaki kiongozi huyo wa Malawi AU ili aulizwe ana dhamira gani kwa Tanzania na Afrika kabla hajaleta madhara makubwa kwa nchi yetu na Bara zima la Afrika.
Waswahili husema ‘Mchelea mwana kulia hulia yeye’ na ‘Mdharau mwiba mguu huota tende’, maana yake ni kuwa inawezekana huyu mtu ana mtandao mbaya sana tusioujua, tufanye uchunguzi kuubaini,” inasema taarifa hiyo.
Inasema kuwa, mara tu baada ya kuingia madarakani Rais Banda alidai kuwa Ziwa Nyasa ni mali ya Malawi kwa asilimia 100 na Tanzania haina haki ya kulitumia ziwa hilo kwa njia yoyote ile.
Taarifa hiyo inasema kuwa, mgogoro huo kwa sasa uko kwenye jopo la usuluhishi la marais wastaafu wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) chini ya Rais Mstaafu, Joachim Chissano wa Msumbiji.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
raisi wa kike wana mambo kwali !nyege nyingi tu!
ReplyDeleteHata marehemu Idd Amin Dada alianza choko choko hivyo hvyo kwa kutiwa kiburi na mataifa fulani.
ReplyDeletekapata bwana ulaya anampa jeuri
ReplyDeletehahahaha inawezekana marekan wanampa jeuri kweli
DeleteKuma yake imefanana na nyani mleteni nimfire aweze ongea mambo mwazuri
ReplyDeleteJamani kwani hakuna mtu wa kutia uyo dada aache chokochoko zake
ReplyDelete