MWIGIZAJI WA FAST & FURIOUS AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Marekani. Mwigizaji wa Fast & Furious, Paul Walker amefariki dunia hivi punde nchini Marekani baada ya dereva aliyekuwa akiendesha gari hiyo kukosa ‘control’ na kugonga moja ya nguzo za taa za barabarani.

Nyota huyo wa kuigiza mwenye umri wa miaka 40 alikuwa abiria kwenye gari ya kisasa na ajali hiyo ilitokea katika eneo la Santa Clarita.

Idara ya usalama ya nchini humo imedhibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kubainisha kwamba watu wawili wamefariki dunia kwenye ajali hiyo.

Wawakilishi wa mwingizaji huyo wamethibitisha kwamba Paul Walker ni mmoja wa watu wawili waliofariki mchana wa LEO nchini Marekani.




“Ni kweli, tunapenda kuthibitisha kwamba mwigizaji Paul Walker  amefariki dunia leo katika ajali mbaya ya gari wakati alipokuwa akienda kuudhuria kuchangia mfuko wa  Reach Out Worldwide.



“Alikuwa abiria kwenye gari ya rafiki yake na wote wamepoteza maisha leo,” taarifa hizi zimesomeka kwenye akaunti maalum ya facebook ya muigizaji huyo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad