MWIGAMBA:BAADA YA ZITTO KUONDOLEWA ANAEFUATA NI DR SLAA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Aliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha Samson Mwigamba amesema kuwa mpango unaofuata kwa sasa ni kumuondoa Dr slaa ndani ya chadema.
amesema baada ya zitto kuondolewa ndani ya chama mtu atayefuata katika kushughulikiwa ni Dr Slaa ambaye kwa sasa amekuwa amekuwa akifanya shughuli za chama kwa kupelekwa pelekwa bila yeye mwenyewe kujua.

Mwigamba amesema kuwa upo mkakati kabambe unaendeshwa na baadhi ya watu kwa kushirikiana na watu walio nje ya chama ili kukimaliza chama kabla ya kufika kwenye uchaguzi mkuu 2015.
Amesema kuwa Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambaye yupo karibu sana na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ndio vinara wa mkakati wa kukiangamiza chama, huku John mnyika na Tundu Lissu wakijiweka mbele bila kujua hatima yao.
Rai
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

18 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. we kweli ulikuwa mamluki, hafadhali ulishtukiwa mapema ukatimuliwa, nyie siyo watu wazuri hata kidogo kwenye jamii, watu wanataka mabadiliko kuwaondoa hawa mafisadi, nchi isimame wewe ulikuwa unawaza tumbo lako tu! watu kama wewe ni watu wabaya sana kwenye jamii inayotaka maendeleo kwa wote, ushaondolewa kaa kimya tu, acha kushoboka ujinga, ndo unaonekana bwege zaidi.

    ReplyDelete
  2. Chadema isha kufa hii hata NCCR ilikua hivihivi ngojea nimwambie Zito tukaanzishe chama chetu kisicho kua na Ukabila, Udini wala gender tuachane na huu upumbavu wa kina Lema na Mboe, Mboe watu wako bungeni wanatetea wananchi wao yeye yuko kwenye mikutano kuieneza siasa za chuki dhidi ya Zito huyu mfanyabiashara tu anaangalia faida zake binafsi

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kwel mdau kushene kabxa labda mbowe na dr slaa waachane naYo vjana wachukue usukani kna Lissu na MnYika

      Delete
    2. CCM MMEFULIA

      Delete
    3. Hapo juu sielewiii ccm tena? Hv Zito cio mchagga eeh. Mm nadhan mnamuogopa mbowe

      Delete
  3. Inafka mtu anasema hana chama coz kla upande hauaminik nlikuwa nakikubali chadema lkn kmeshazkwa sa xjui huu uYatima utaisha lin, wako aazalendo wachache xana nahis zito Yupo ila cna uhakika 100% kna marehemu chacha wangwe na sokoine,labda kdogo

    ReplyDelete
  4. MWIGAMBA AMEFULIA NDIO MAANA ANAONGEA PUMBA. MAMLUKI MKUBWA.

    ReplyDelete
  5. MWIGAMBA AMEFULIA NDIO MAANA ANAONGEA PUMBA. MAMLUKI MKUBWA.

    ReplyDelete
  6. Wadau nani anaweza kuthibitisha au kukanusha taarifa inayozagaa kwa kasi mtaani kwamba bilionea Mwigulu Nchema ameshainunua Global Publishers inayochapisha magazeti ya udaku ya Risasi,Ijumaa,Ijumaa weekenda?

    ReplyDelete
    Replies
    1. si ya udaku hayo.. hii habari pia ni udaku

      Delete
  7. hakuna palipo sawa 100% lakini tunataka mabadiliko. Either positive or negative, what matters are changes.. peopleeess......

    ReplyDelete
  8. hv tumwamin nani dah! chadema ndo basi tena

    ReplyDelete
  9. yaani ni bwege kweli hivi anaongea utumbo gani mbele ya jamii tena niafadhali wamekutoa nyinyi ndio mafisadi wakubwa mlitaka kukimalizaa chama ambacho kinaonyesha muelekeo kwa wananchi tafuta chama cha mafisadi sio chadema

    ReplyDelete
  10. Mwigamba ulisema cdm uliondoka mdamlefu, sasambona kilawakati cdm au kunamizigo ulisahau kule? wambie wakupe uomdoke hatukutaki chadema!

    ReplyDelete
  11. we GAMBA nenda kajiunge na magamba wenzako huko ccm, tuachie Chadema yetu.

    ReplyDelete

  12. Niko very discouraged ...Chadema dah! Nasikitika....

    ReplyDelete
  13. Nashangaa! sijui ni mwamini nani?

    ReplyDelete

Top Post Ad