AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Naseeb nakuita hivyo sababu, Wema anakuita hivyo, na Naseeb ndio anaependwa nna Wema si Diamond. Nionapo drama za mapenzi yenu nakumbuka maisha yangu, miaka mitano iliyopita, sikuwa maarufu ila maisha yangu ya mapenzi yalifanana na maisha yenu na wema. ila mwisho kabisa Mungu akasaidia sasa tunaitwa baba na mama Nahya. Tunapendana sana na kati ya tuliyopitia sidhani kama lipo linaweza kututenganisha tena. now we know each other in and out. kila kitu maishani mwetu tunaona ni marudio tu. kuna wakati huwa tunaangaliana na kumuangalia mtoto wetu tunaishia kucheka sana. Nawaombea kila la kheri na Mungu awafikishe mwisho mwema then ibaki ni historia kwa watu na kwenu pia. NAWAOMBEA SANA.
ReplyDeleteChai tu hapo hakuna kitu
ReplyDeleteDiamond karne tunayoishi siyo ya kuchaguliwa mwenzi wa kuishi naye.wazazi na ndugu wanatakiwa waheshimu uchaguzi wako kwani hayo ni maisha yako na si vinginevyo. Afrika bado kwa Hilo tuko nyuma 100 years.
ReplyDeleteWatakupinga sana lakini mwenye kuoa ni wewe Uwe na msimamo wako tu mwisho itabaki kama hadithi. Mapenzi hayachaguliwi kwani siyo nguo wala kiatu. Oa unayempenda wewe BASI
ReplyDeleteKweli kawaateka hata akiharibu watu mnamsifia mh si bure
ReplyDeleteNice Diamond ww ni mkali ktk music, jpo kuwa mambo yko unayajua mwnyw ila ktk music upo juu baba.
ReplyDelete