AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori mbili-tatu na kona hii, Batuli alisema kuwa muvi nyingi Bongo huwa zinafungiwa kwa kukosa maadili na kwamba kama ikitokea nafasi akaitwa nje ya nchi kuigiza sini hizo, atakuwa tayari.
“Zamani nilikuwa nikiogopa kuigiza nusu utupu. Wenzetu Nigeria wameendelea na ndiyo maana wanaigiza hata nusu utupu, kama itatokea nafasi ya kuigiza huko (nje ya Bongo) nusu utupu, nipo tayari,” alisema Batuli.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
shame on u, ni juzi tu ulisema sasa kuva nusu uchi basi imekuwaje leo
ReplyDeleteSi hapa chacha mi chichemi.....
Deletehana jipya anataka kuandikwa tu na wakawaida sana tu uyu
ReplyDeleteJuzi uliongea nn? Tatizo huna nyota unaongeaongea pumba ili upate kick ...kaogeeee
ReplyDeleteKma huna mvuto huna tu hata ukicheza uchi kbsa bdo utakosa soko
ReplyDeletekabisa mdau apo juu ajipange upyaa atukujui wala habar yaki aiuziki km za mastar wengine mfyuuuuuuuu
ReplyDeleteNjo Kenya uigize sex klp wataka Kuna hela utapata tena ww watakiwa kwa dola.sio shillings
ReplyDeleteTake it easy girl...
ReplyDeleteMpumbavu kabisa dada huyu...hajielew...kaona pesa bora kuliko utu...
ReplyDeleteTatizo nyota hana bidada, usiringie uzuri ringia bahati
ReplyDelete