AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Mfyuuuuuuuuuu @neywamitegoo mbwa bahar ww eti unamtafuta @dougiemasta13 unataka kumjua ss ukinijua utanifanya nn kwa mfanoo ehh, kwanza ninani alikuwambia kuwa nakuogopa tena maanzaje ss kuanza kukuogopa eti kisa huo mwili wakowa tofari la kigaee ukirusha jiwe kinapasukaa fala ww kafe mbele kwan me ndo nilomtuma mwanamkr wako akavalishwe pete na kukugeuza ww mariooo si umalaya wake mwenyewe na dhiko zako ndio zilikuponz.mtoto wa kiume jitume sio kutegemea wanawake na kutegemea migongo ya wenzio ili kutoka kimaisha,mfyuuuu domo kama mlango wa ikuruu na meno yalio kuzid mdomon fala mkubwa ww tena ujipangee sana maana ww unanitafuta na mm nakutafuta so tunatafutana...eti nitawafundisha adabu jifunze ww kwanz hiyo adabu tena uishike na nyengine unining'ing'inize kama irizi,raisi wa manzese utakuwa ww mnuka midomo na tattoo zako za pa1 zinachanganywa na piko umekuwa bi harusi au dada neema ujipange tena sana kama umezoea kutishia watu hapa umetishia mnyama fala ww kwanz unaimbaga nn me skuelewi naskia Thi thi kibaoooo,endeleea kunitafuta na mm nakutafuta so tutafutane afu unifundishe hiyo adabu,marioo mkubwa nywle utasema umebeba siafu kichwani...afuu hii ni kwa wote unao nitafuta endeleeni lk mjue na mm nawatafutaaa so tutafutaneee...umeshindwa mfundisha mwanamkr wako adabu utaniweza mm nyoooooo,raisi hajui kuongea umeona wapi raisi huna mbele wala nyuma na umshukuru siwema kwa kukuweka soap soap maana ulijitia kuleta style yako ya kuvaa ndala ukaishia kuvaa mwenyewe,wanakuogopa manzese sio instagramm msukule ww baunsa wa makopo ya rangi ukamtishe wa vyuma hahahahahhahahah itafaamika na ishakula kwakoooooo...naendeleaa" By Dougiemasta13
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mmh me napita tuu.....na kick ndo tunauza mjue,,,,,,
ReplyDeleteBiff Hazifai Jamani Kaeni Peace Vijana
ReplyDeleteduuuh nimeipenda hii cyo muda wa kutishiana maisha ila ni muda wa kusaka noti ,safi mwana kwa kumchana ney maana amezidi
ReplyDeletedougiemaster mwenyewe shoga tu mwanaume anatunga mashairi kwa mwanaume mwenzie, nio nn sasa ushamba tu hilooo lione
ReplyDeleteungekuwa kidume na umuogopi ungemface na sio kuandika mitandaoni ili iweje boya nini
ReplyDeleteKaka Dougie Masta muziki ulio uwasha utaweza kuucheza? mana cye ni watazamaji kwaz kwenu bahna japo mwanaume cyo knyonge lakin duuuh! Ney shughuli nyingne bahna.
ReplyDeleteShughuli nyingine huko huko manzese, ila asijaribu kuchezea watoto wa mbwa waliopinda na kupindukia, kama uliwaona Shamba la bibi, wale wanaovunja vitofa kwa kichwa!!!
DeleteWatoto WA mbwa bongo, mnatafuta kick kupitia nay kajambeni hukona mkazibwe
ReplyDelete