AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Mwanaspoti Kocha Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amsema kuwa walipokea maombi kutoka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kupitia benchi la ufundi la timu hiyo ya vijana wakiomba Kaseja aende kuwanoa makipa wao.
Pluijm alisema mara baada ya kupokea barua hiyo benchi lake lilimruhusu kipa huyo kwenda kufanya majukumu hayo kutokana na kutokuwepo kwenye kikosi cha wachezaji waanaotarajiwa kushuka uwanjani kuumana na Simba leo.
“Ni kweli Kaseja hayupo, tulipata taarifa rasmi kuwa Ngorongoro Heroes ina tatizo la kocha wa makipa, wakatuomba tuwapatie Kaseja ili akawafundishe makipa wa timu hiyo kwa muda,” alisema Pluijm.
“Hatukuwa na sababu ya kumzuia kwa kuwa hakuwa kambini tangu timu ilipokuwa Arusha, tuliona tumpe baraka za kwenda kuwafundisha vijana hao lakini siyo kwamba hakuwa anahitajika katika timu.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK