AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekuwa mwakilishi wa mara mbili kutoka Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa, Mwisho Mwampamba ataonekana hivi karibuni kwenye kituo cha runinga cha TV1 kama mtangazaji.
Kupitia Instagram, TV1 wameweka picha hii ya ya baadhi ya wafanyakazi wa TV1 akiwemo Mwisho na kuandika; Guess who’ll be next as #TV1Host #tv1tanzania #comingsoon #tvproduction #tv #tanzania #africa #daressalaam #mikocheni #studios #set
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Naomba utuwekee hii story huku http://www.williammalecela.com/2014/04/habari-zaidi-za-mbebez-wa-kibongo.html?m=1
ReplyDeletehongera mwisho..love mwisho mingi mingi..
ReplyDeletealivyo chizi atatangaza kweli huyuo
ReplyDelete