AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
HUYU NDIYE KIJANA WA MIAKA 27 ANAYEITWA ELIMRINGI MOSHI MWANAFUNZI WA MWAKA 3 IFM ALIYEMREKODI KWA SIRI BILA KUJUA MSICHANA WAKE ANAYESOMA NAYE NA KISHA KUTOA PICHA NA VIDEO YA UCHI WA MNYAMA WA MSICHANA HUYO HUKU YEYE AKIJIFICHA BILA KUONEKANA ILI KUMKOMOA BAADA YA KUMUACHA. KAMA UMECHUKIZWA NA THIS PLEASE ISAMBAZE KILA KONA YA MITANDAO ILI HUYU KIJANA NAYE AINJE JOTO YA JIWE ALIYOMFANYIA MWENZIWE AMBAO NI UNYAMA WA AJABU SANA HUYU KIJANA NI MNYAMAM ANAYESTAHILI KUOZA JELA TU, AMESHALALA RUMANDE SIKU 2 YUPO KWA DHAMANA KESI YAKE INAKUJA SOON NITAWAJULISHA MIMI NINAYE HUYU KIJANA MPAKA NIONE MWISHO!! - LE MUTUZ
KAMA ULIPITWA NA HUO MKASA UNAWEZA TEMBELEA HAPA CHINI..
<<MKASA>>
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
uyu kijana ni bonge la mshenzi vikiptikana vifungu vya sheria hukumiwe
ReplyDeletesasa nini chaajabu anachotuonyesha mbona hata dada zake na mama yake wanavyo huyu ingewezekana hata yy atekwe aliwe ndogo halafu awekwe kwenye mitandao labda atajifunza kuheshimu wanawake .stupid boy!
ReplyDeleteSura kama vuzi
ReplyDeleteHuyo ht mama na dada zake hawaheshimu,mpumbavu!!
ReplyDeletetunamtamani sana lzm awe fundusho kwa vijana washamba wa mitandao km yeye lemutu tupo nyuma yako anatuzalilusha wanawake bila mwanamke akuna mwanamke so lzm ajue kumuheshimu mwanamke
ReplyDeleteMwamke huyo hadi anapigwa hizo picha alikuwa kazimia?sheria inasimamia pande mbili mlalamikaji na mlalamiiwa wanahaki sawa,yawezekana alikubali kwani walikuwa walala na nguo au alimvua nguo kwa nguvu?
ReplyDeleteHapana hafai mwanaume kutoa siri nje ya waliokuwa wakifanya wawili unless wamekubaliana
DeleteHapana hafai mwanaume kutoa siri nje ya waliokuwa wakifanya wawili unless wamekubaliana
Deleteww uyo dada awezi omba alekodiwe ata siku moja uyo kaka anakaushenzi fulani na za mwizi arobaibi mungu mkubwa amekamatwa na kwa nn yeye ajajitoa amemzalilisha mtoto wa kike sana na je anaweza fanya ivi kwa dada yake
ReplyDeletena sheria ya tanzania haturuhusu pic za x na vdo siku zote tunasema nani anaweka kumbe yupo tena msomi lzm akutwe na hatia tu km vo tutaandamana wallah
ReplyDeletemuandamane kwenda wap!!!,, kikubwa ni hyo bwana mdogo afunguliwe mashtaka ya udhalilishaji na c vnginevyo
DeleteSura yake tu anaonekana wa kuletwa vile! Yan mshamba wa jiji vile! Waajabuuuuu!!! Kwa jinsi mimi ninavyoona naona kama na bangi anavuta vile ???yan waajabu sana lemutuz mkomeshe huyo! Na inaelekea hana wazazi wote huyo alilelewa na mzazi mmoja!au mama yake alipewa mimba na mtu asiyejulikana kwa kubakwa vile! Kanichosha nashindwa hata kuandika! Ila inaelekea katesa sana wasichana wa watu hapo
ReplyDeleteila ana mashine ya ukweli heheehee
ReplyDeleteHuyu nae ni mshamba tu, je akiwa mama watoto wako huyo demu si umejiabisha mwewnyewe, weee mwenywe kijana umetokea kwenye kuma huko huko kwa hiyo, isikuchanganje hiii, mama yako ndio anajua vizuri alikutoaje,
ReplyDelete