AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nguzo iliyovunjika |
Njia Mbadala Baada ya Nguzo kuvunjika |
Kutokana na mvua zilizonyesha hivi karibuni jijini Dar es salaam ambapo mvua hizo zimesababisha uharibifu mkubwa wa mali na miundo mbinu mbalimbali .
Uharibifu mkubwa na wahatari ni katika nguzo za umeme zilizo vunjika na baadhi ya nyaya zinazo pitisha umeme kushuka chini ambazo ni hatari kwa wananchi.
Katika eneo la Mlalakuwa mbele kidogo baada ya kulivuka daraja ukiwa unaelekea kawe pana nguzo tatu ambapo nguzo moja imevunjika kabisa na nyingine mbili zimelegea katika nguzo iliyo vunjika ni mali ya Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) liliweza kufika katika eneo hilo wakachukua hatua ya kufungua nyaya za ile nguzo iliyo katika na kuzifunga juu ya mti ulio pandwa pembeni mti huo si mkavu ni mbichi.
Je shirika la umeme la Tanzania madhara ya umeme wananchi watayafahamu vipi wakati ninyi wenyewe wataalamu wa kazi hiyo mnatupotosha, pili sehemu mulipo fungia na nyaya zilipo legea ni sehemu watu wanapo ishi ,hivi huku nikuwajali wateja wenu ?
Tunaomba muchukue hatua harakaiwezekanavyo ili kuepusha madhara yanayo weza kujitokeza hapo baadae kwani ni hatari sana
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mimwenyewem ngeniiii atiiiii wapiiiii?
ReplyDeleteUkiona hivyo wameshazidisconect so hapo wamehifadh tuu wakija kureplace nguzo wana rudishia tuu
ReplyDelete