AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
YALIYOTOKEA JANA NI AIBU...
Sorry to say ila Siamini kama Wanawake wanaweza kukosa akili kwa kiwango hiki...Nilijua Maturity ya Wanawake comes with age lakini nadhani I was wrong!
Kugombea Babe Ake kwenye Social Media kuprove Mchepuko NDIO DILI....NGACHOKA MIE
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
kweli mchepuko nomaaaaaaaa. wote hao unashusha CV yako kujana baki njia kuuuuuuuuuu.
ReplyDeletemakubwa kiazi
ReplyDeletehmmm wanaume wa kiafrica chupi mkononi suruali nje nje hmmm chezea africam sura nyeusi haoni kazi kushusha suruali yake na kichupi chake
ReplyDeleteNjia kuu ndo yupi hapo?
ReplyDeleteHkn ht mmoja njia kuu kuanzia bwana wao mpk hivyo videmu ushuzi wote michepuko
ReplyDeleteHahaha asante mdau kwa jibu, maana wanajitutumuaje?
DeleteHv Ruge alimwacha Irene Wa Arusha? Nashidwa kuwaleewa wanaume jamani Mmh Eeh Mungu nisaidie!! Kuoa ataki Ni kukojoa na kuondoka Haya!!!!!!
ReplyDeleteNaomba kuuliza kwani ruge kaoa anamke?au kazaa tu nawanawake manawanasema anamke
ReplyDeleteMtonyo ndo unawafanya hao makahaba wapigane vikumbo we unadhan hyo ruge angekuwa anauza dawa za panya na mende wangekubal kupangwa ka'mabehewa ya mwakyembe. Fanyen kaz mpate za kwenu njaa ztawaua ny**ooo
ReplyDeleteYani ni aibu sijui huyo Ruge anajiskiaje, au ndo sifa
ReplyDeleteazeeki?au picha za zamani ....anaweusi mzuri ila kahaba la jiji
ReplyDeleteHawampendi hajijui tu wanataka pesa mapenzi wanapata kwingine hauna anaependa kupanga foleni angekya muuza machungwa wangekubali awafanye atakacho..njaa zitawaua na ukimwi wa ku share kama ndala za chooni..
ReplyDeleteyani hawa wote mabulula aiseee hizi ni nyakati za kugombea wanaume kweli??? Ila czani kama hawa wote wanampenda kwadhati yani hapo hakuna mapenzi zaidi ya kupenda hizo hela zake tu. ZAMA Kpnz nilikua nakupenda sana na nilikua shabiki wako #1 ila kwa hili nimekushusha thamani hatareeeeeee. Kama Ray C nae alipost uko IG yule najua co kosa lake ni kosa la ile sembe alio kua anatumiaga kipindi kile.
ReplyDelete