Rihanna Anamzimikia Mchezaji wa Ghana Huko Brazil

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rihanna anamzimikia mchezaji wa Ghana, Kevin-Prince Boateng.

Da Bae doe! I might have to be team Ghana on this one idc idc idc pic.twitter.com/3GDQPU5KGe

— Rihanna (@rihanna) June 16, 2014

Kupitia Twitter, Rihanna alisema kuwa kutokana na mchezaji huyo anayekipiga pia FC Schalke 04, alijikuta akiwa shabiki wa Ghana ilipokuwa ikicheza na Marekani jana.

Hata hivyo huenda Riri aliangushwa na timu hiyo baada ya kufungwa bao 2-1.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. mpe nyapu hiyo

    ReplyDelete
  2. Rihanna umejikwaa kisiki, Jamaa anapenda nyuchi ile mbayaa. Hanaga muda maalumu wa kugonoka.

    ReplyDelete

Top Post Ad