AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Amani juzikati jijini Dar baada ya kuombwa kuwataja wadaiwa hao, Steve alisema hashindwi kuyaanika majina yao, bali uongozi wake kwenye chama hicho si kuingilia mambo binafsi bali kuunganisha umoja na mshikamano kwa ajili ya tasnia ya filamu za Bongo.
“Hilo suala kila mtu ananiachia mimi nilizungumzie kwa kukanusha au kuweka majina hadharani ya wanaodaiwa ni mashoga. Hadi namaliza uongozi wangu sitafanya hivyo,” alisema Steve.
Siku za hivi karibuni baadhi ya vyombo vya habari viliwahi kuripoti suala la kuwepo kwa mastaa mashoga kwenye klabu hiyo yenye nguvu ya ushawishi wa fedha mjini.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
nae ndiga huyo
ReplyDeleteNi tatizo linatibika,taja tuwasaidie waondokane na hilo.
ReplyDeleteUwo ni ushenzi wewe steve fanya hata km unawajua inakuhusu mtu mzima una akilii
ReplyDeleteHujiamini/huna uhakika?Unawaogopa?Hakuna watu wa hivyo bongo movie.
ReplyDeleteNi akina nani hao jamani!
ReplyDeleteWatajeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mxxxzxxxxxxxxxxssss kaz uuza sura tu.
ReplyDeleteWataje tuwajue na tuwasaidie......
ReplyDeleteushoga wa urafiki au ushoga wa kupumuliwa kisogoni?
ReplyDeletekila mtu afanya yakee awatajee ili mgundue nn
ReplyDeleteNaamin hakuna mashoga bongo movie acheni kupakazia watu hicho kitu sio kizuri kabisa tena kinaumiza sana kuzushiwa
ReplyDeleteHakuna ukweli ndio ksma wapo huwa wananyoosha kidole hawajifichi
ReplyDeletesasa katika hao nani umemuona anatabia za kishoga?
ReplyDeleteushenx 2
ReplyDelete