Baada ya Ajali ya Malaysia Airline…Hii ni Taarifa ya Ndege Nyingine Kutoka Nchini Uganda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya habari za ndege ya Malaysia airline hivi sasa ajali nyingine imetoka karibu kabisa na Tanzania ambapo ni nchini Uganda. Ndege hiyo ambayo ilikuwa imebeba wanajeshi 6 wa Marekani wakitoka Entebe kuelekea South Sudan imetua kwenye barabara ya magari baada ya hitilafu kutokea ikiwa hewani. Lakini kwenye hii ajali hakuna aliyepata majeraha au kufariki kutokana na taarifa ya msemaji wa polisi nchini Uganda.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad