AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa CNN, waziri wa Malaysia anaehusika na mauala ya Usafirishaji amesema kuwa abiria 280 na wafanyakazi 15 waliokuwa kwenye ndege hiyo wamepoteza maisha.
Tweet ya Malaysia Airlines imeeleza kuwa ndege hiyo ilipoteza mawasiliano baada ya kutoka Amsterdam.
Kumekuwa na taarifa za awali kuwa ndege hiyo ilipigwa na na Ukraine, taarifa ambazo zimekanushwa na raisi wa Ukraine.
Rais wa Malaysia ameeleza kupitia twitter jinsi alivyosikitishwa na tukio hilo na kudai kuwa wataanza uchunguzi wa tukio hilo haraka iwezekanavyo kufahamu chanzo.
Tukio hili linatokea wakati ambapo bado ndege ya nchi hiyo, Flight 370 iliyopotea March 8 Mwaka huu bado haijapatikana.
Quote of the Day:
Believe in yourself! Have faith in your abilities! Without a humble but reasonable confidence in your own powers you cannot be successful or happy.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
INNA LILLAH WAINA ILLAH RAJIUN
ReplyDeleteMUNGU AZIWEKE MAHALI PEMA ROHO ZA WATU WALOTANGULIA BILA HATIA
NA ALLAH AWAPE SUBIRA WOTE WALOPOTELEWA NA NDUGU JAMAA NA MARAFIKI.
Naamini hizi ni sadaka haiwezekan kampuni ya malaysia airline abiria wanapotea.kwa wng na tn kwa mazingira ya kutatanisha
ReplyDeleteHao hawaja potea bali ndenge imeanguka au ujui kusoma hapo juu wameandika nn.Mola awalaze mahala pema na awape subra kwa wafiwa wote ameen
ReplyDelete