AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Stori: Gladness Mallya
WAMEMALIZANA! YOBNESH Yusuph ‘Batuli’ anayekimbiza kunako soko la Bongo Movies, amefunguka kuwa hataki kusikia habari za aliyekuwa mpenzi wake aliye pia msanii mwenzake, Mtunisi kwani mapenzi yalishaisha.
Akistorisha na paparazi wetu, Batuli alisema hataki kumsikia wala kujua habari za Mtunisi kwani mapenzi yalikuwa zamani lakini kwa sasa kila mtu ana maisha yake yaani yeye Mtunisi ana mke na yeye ana mpenzi wake.
“Mimi kwa sasa nina maisha yangu na Mtunisi ana maisha yake nawashangaa wanaoniandama kwa maneno kwamba bado niko naye, jamani Mtunisi ana mke na mimi nina mpenzi hivyo sitaki kusikia habari hizo kabisa,” alisema Batuli.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Pakabasi mkorogo mpaka miguuni vidoleni.uko Pepsi mirinda.mkorogo hoyeee pole lakini
ReplyDeleteKwahy ulivyokuwa nae hukujua kama ana mke..hujielewi ww
ReplyDeleteUkilitizama toto la haja.. la kuliweka ndani ka mke, guu guu, tako tako, sura nzuri but kichwani ndo hamna kitu maskini!! Kuuutwa kutafuta promo kwenye media... na kikuku hicho ndo tujue ka unatoa kabaang goli la kwanza mpaka la mwisho.. ptuuuuu, umalaya mtupu!!!
ReplyDeletekabaaaang.....tigo.
ReplyDelete