AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
ya East Africa Radio leo alipokuwa akielezea changamoto alizokutana nazo wakati akichat Live kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV katika kipengele cha Kikaangoni Live kinachofanyika kila siku ya Jumatano kuanzia saa sita mchana.
Steve amewataka watanzania kuwa na uzalendo na kuthamini wasaniii wa nyumbani na kazi zao na sio kuwapakazia na kuwaharibia sifa zao kwa maneno machafu na kuwapakazia mambo yasiyokuwa na ukweli ndani yake,Steve alisema hayo pale alipokuwa akijibu swali la moja ya shabiki wa ukurasa wa Facebook wa EATV.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK