AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mrembo Jokate Ambaye Tumezoea kumuona Kwenye Mitindo na Utangazaji Naye Ameamua Kufuata Nyayo za Mtangazaji Mwenzake Venessa Mdee Kwa Kujiingiza kwenye Fani ya Kuimba Bongo Flava, Jokate Kwa mara ya Kwanza alipanda jukwaani na Wacheza Show wake kwenye Show ya Ufunguzi wa Fiesta Huko Mwanza na Kushangiliwa sana Mashabiki kwani Alifanya Kama Surprise.
Udaku Specially Tuliongea nae kuhusu hilo la kujiingiza kwenye music Akasema amejipanga sawa sawa Mashabiki wakae tayari kwa Mambo makubwa kwani yupo kamili na amesema lazima amzidi Venessa Mdee Ambae ni mwenzake katika utangazaji.
Je Ataweza?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
mh mbona Jokate ameanza kuimba kitambo tu toka african queen na Ay akatoa nyimbo nyengine na lucci inaitwa kaka na dada sio anaingia kitambo yupoo
ReplyDeleteUsisahau tu kufanya kolabo na X wako
ReplyDeleteYani Joketi tangu umvulie diamond chupi nimekushusha thamani,wewe ulitakiwa uvulie chupi watu Wa maana sio diamond.duuuuuu,AMA kweli ukiwa na PESA utalala hata na Beyonce.
ReplyDeletehahahahaaaa
DeleteMwahahaha! Mi changu kicheko tu. Eti amzidi Vanessa mdee loh in your dreams
ReplyDeleteDiamond muachie wema na penny hizo ndo type za diamond.
ReplyDeleteHahaaa anony hapo juu! Hata uwe cripple ukiwa na hela unang'oa Beyonce! Chezeya dollars weye!
ReplyDeleteTafuteni hela wanaume! Pesa ni sabuni ya roho! ni perfume yenye mvuto zaidi duniani!
Free Pumbu wanamindije?
Kumanyoko zako wewe utakuja zikwa na hela zako hivi hivi unajiona. Pesa ni nini kilaza wewe linda utu na heshima yako ndio mwisho wa matatizo mbweha mkubwa weeeee usiyekuwa na haya nyoko zako na hiyo pesa ije ikuzike waalah
DeleteUnamwambia mwenzio alinde utu wakati wewe mwenyewe huna utu?
DeleteMatusi ni utu?
pesa siyo kila kitu bwana, tatizo lenu nyie mademu wengi mnaaendekeza njaa! jitahidini na nyie muwe na shughuli za kukuingizieni mapato siyo mtegemee kutumia vidude vyenu tu, mtaumbuka!! huyu mtoto kajishushia hadhi kumvulia chupi yule domo!
ReplyDelete