AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Steve alitinga uwanjani saa 11:00 jioni akiwa na demu huyo mrefu kwake,aliyetinga kipensi cha jinzi kifupi na tisheti ya njano na kijani (zinazotumiwa na Yanga).
Wakati wawili hao wakipita kwenye jukwaa la mashabiki wa Simba, ndipo walipozomewa na wengine kuwarushia chupa za maji kwa kile kilichodaiwa kuwa, demu huyo alivunja maadili ya Kitanzania kwa kuvaa kihasara hadharani
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
we admini mavi nini? kavaaa kihasarahara kivipi hapo? jezi ya Machampioni Dar Young Africans inaiiita hasara, pumbaf!!
ReplyDelete
DeleteTena admin hapo kachemsha,wakati watu tunajadili jezi hii ndio iwe ya Taifa yeye anasema kihasarahasara?mpumbaf thaaaaaaaaaaaana!Admin chunga sana,huoni kama ndio rangi ya nchi demu kavaaaaaaa?
wana YANGA damu eeeeeeh!
DeleteFUCK YANGA
ReplyDeletekaka/dada hapo juu mbona hasira!! Yanga wamekuudhi nini? au we lambalamba!!! Jaja jaja jaja jaja!!!! uliliona lile goli la ulaya eeeehhh!!
ReplyDelete