AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
mahakama ya Afrika mashariki , imesema kuwa Bunge na serikali walikiuka hati hiyo ibara ya 50 , na pia kitendo cha kumpa fursa kugombea John Lifa Chipaka wakati chama chake hakina mbunge ni muendelezo wa kukiukwa kwa hati hiyo ya Afrika mashariki .
Jopo la Mawakili wa Chadema lilikuwa likiongozwa na Edson Mbogoro , Aidha mahakama imeitaka serikali kulipa Antony Komu gharama zote za kesi .
Huu ni muendelezo wa CCM kujidhalilisha kwa kutumia mabavu kwani mliofuatilia mtakumbuka kuwa kulikuwa na ubishani mkubwa sana wa kikanuni ndani ya Bunge siku ya uchaguzi huo, hukumu hii itasaidia sasa ile kesi ya pili ambayo iko mahakama kuu Dodoma ya kuitaka mahakama hiyo itengenezwe uchaguzi ule na irudi we upya kuendelea kwa kasi .
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hongera sana Anthony Komu kwa kupigania haki yako!!
ReplyDeleteWatanzania mmeona wenyewe maubauvu ya ccm?? mwenye macho aambiwi tazama!!!
ReplyDeleteTena wamezidi pumbavu zenu ..kaziukandamizaje.....hongera jembe
ReplyDelete