AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akisoma hati ya amri ya mahakama Jaji Augustino Mwarija kwa niaba ya majaji watatu waliosikiliza shauri hilo,amesema kumekuwepo na Utata katika kifungu cha 25(2) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2011 katika lugha mbili zilizotumika kuandika sheria hiyo. Na kusema kuwa kutokana na kifungu hicho kinaipa mamlaka bunge maalumu la Katiba kuijadili rasimu ya katiba,kubadili au kuboresha na kuwa Bunge hilo lina mipaka kwa kuzingatia kifungu cha 9(2) cha sheria ya mabadiliko ya katiba.
Akizungumza baada ya amri hiyo nje ya mahakama kuu Wakili wa Saed Kubenea, Peter Kibatala amesema wanafurahi kuona mahakama imetoa maamuzi kwa wakati na kueleza kuwa tasfiri iliyotolewa ni katika kusaidia wananchi kupata katiba iliyotokana na maoni yao.
Katika kesi hiyo, Kubenea aliiiomba mahakama itoe tafsiri sahihi ya Mamlaka ya Bunge la Katiba kwa kuzingatia kifungu cha 25 (1) na (2) cha Sheria ya Marekebisho ya Katiba Namba 83 ya mwaka 2011. na kuiomba Mahakama itamke kama Bunge hilo lina mamlaka ya kubadilisha maudhui ya Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kubedema ni mtu hatari kwa watanzania!
ReplyDeletekubedema ndio nani, hula lolote wewe fwaraaa...anachokitaka ni sahihi kama mtanzania yeyote, uhatari wake amekubaka??/
ReplyDeleteEti hula lolote wewe fwaraaaa.......teh teh teh........ni shiiiiiiiiidar!
DeleteHivi Kubenea huyu ndio yule wa tindikali? Kama ndio yeye, basi anatafuta mengine
ReplyDelete