UKAWA Yaitaka Polisi Kuzuia Mikutano ya Kinana Nchini, Kama Ilivyozuia Maandamano ya Ukawa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

UMOJA wa Katiba ya Wananchi “Ukawa” wamemtaka Mkuu wa Jeshi la  Polisi nchini,  kuzuia mikutano ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahaman Kinana,  kama alivyozuia mikutano na maandamano ya vyama vya siasa  vinavyoundwa  na Ukawa.
Hayo yamezungumzwa na Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),  Lissu wakati akizungunmza na waandishi wa habari leo, makao makuu ya chama hicho, Kinondoni jijini Dar es Salaam .

Aidha umoja huo umetoa tamko juu ya amri ya Mahakama Kuu ya Tanzania kuhusu mamlaka ya Bunge Maalum la Katiba kwa kumuunga mkono Saed Kubenea  aliyekuwa amefungua kesi ya kuitaka

Mahakama Kuu itoe ufafanuzi wa mamlaka ya bunge hilo  kwa mujibu wa kifungu cha 25 cha sheria ya mabadiliko ya katiba, sura ya 83 ya sheria za nchi yetu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad