AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hayo yamezungumzwa na Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Lissu wakati akizungunmza na waandishi wa habari leo, makao makuu ya chama hicho, Kinondoni jijini Dar es Salaam .
Aidha umoja huo umetoa tamko juu ya amri ya Mahakama Kuu ya Tanzania kuhusu mamlaka ya Bunge Maalum la Katiba kwa kumuunga mkono Saed Kubenea aliyekuwa amefungua kesi ya kuitaka
Mahakama Kuu itoe ufafanuzi wa mamlaka ya bunge hilo kwa mujibu wa kifungu cha 25 cha sheria ya mabadiliko ya katiba, sura ya 83 ya sheria za nchi yetu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK