Breaking: Taarifa Mpya ya Kusikitisha Kuhusu Yule Mgonjwa wa Ebola Marekani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Thomas Eric Duncan mwanaume aliesafiri kutoka Liberia mpaka Marekani akiwa ameambukizwa virusi vya ugonjwa wa Ebola amefariki muda mfupi uliopita nchini Marekani baada ya kuwa kwenye hali mbaya.
Pamoja na hayo pia mamlaka husika zinaendelea na jitihada za kuhakikisha ugonjwa huo hausambai nchini humo na wanafahamu kabisa kwamba virusi vya Ebola vinaweza kuishi kwenye miili ya watu waliofariki ndio maana wakati wa kuizika ni watu pekee wenye mafunzo maalum tena wakiwa wamejikinga ndio wanaruhusiwa
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad