Liberia Kumshitaki Mgonjwa wa Ebola Aliyepatikana na Ugonjwa Huo Marekani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Maafisa wa utwaala nchini Liberia, wanasema kuwa watamshitaki mwanamume aliyepatikana na ugonjwa wa Ebola nchini Marekani wakimtuhumu kuwa alitoa taarifa za uongo kuhusu kukutana na jamaa wake aliyekuwa anaugua ugonjwa huo.

Mgonjwa huyo Thomas Eric Duncan alitakiwa kujibu maswali kadhaa kabla ya kusafiri kwenda Marekani mwezi jana lakini maafisa wanasema aliulizwa ikiwa alikutana na jamaa yake mwenye virusi hiyo akasema la. Alisema hakuna jamaa yajke yeyote anaugua ugonjw ahuo.
Lakini waziri wa afya amesema kuwa mwanamume huyo alionekana akimpeleka jamaa wake mgonjwa hospitalini.

Bwana Duncan yuko katika hali mahututi, katika hospitali ya Dallas.
Ni mgonjwa wa kwanza wa Ebola kugudnulika nchini Marekani ambako zaidi ya watu 100 wanachunguzwa ikiwa wameambukizwa ugonjwa huo.

Zaidi ya watu 3,330 wamefariki kutokana na Ebola katika nchi nne za kanda ya Afrika Magharibi.
Taarifa ya kutaka kumfungulia mashitaka mghonjwa huyo ilitolewa katika mkutano wa kila wiki wa serikali kuarifu waandishi wa habari kuhusu hali ya ugonjwa huo nchini humo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad