Hatimaye Kivuko Kipya cha Safari za Dar es Salaam Kwenda Bagamayo Chawasili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli leo amepokea kivuko kipya cha MV Dar es Salaam chenye uwezo wa kubeba abiria 306.

Kivuko hiki kipya kitatoa huduma ya usafiri kati ya Jiji la Dar es Salaam na mwambao wa Bahari ya Hindi hadi Bagamoyo. Kivuko cha MV Dar es Salaam kitakuwa na kasi kuliko kivuko chochote Afrika ya Mashariki na hasa mwambao wa bahari ya Hindi ukiacha Afrika ya Kusini.

Itakumbukwa waziri Magufuli amekuwa akiahidi kufanya jitihada za kupunguza msongamano katika Jiji la Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na kununua kivuko kitakachofanya safari zake katika mwambao wa bahari ya Hindi mpaka Bagamoyo.

Kivuko hiki mkombozi wa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kimejengwa na kampuni kutoka Denmark kwa gharama ya shilingi (Tanzania) bilioni 7.9.

Sifa kubwa ya kivuko cha MV DAR ES SALAAM:

1. Kina uwezo wa kubeba abiria kati ya 306 waliokaa hadi 400,

2. Kina spidi (speed) kubwa kuliko vivuko vyote Tanzania na hata Afrika ya Mashariki

3. Kina ghorofa mbili (Two Floors)

4. Kwa ndani kina makochi mazuri kabisa ya kisasa ikiwa pmoja na life jacket

5.Kina tekinorojia ya kisasa kabisa ya Nivigation.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad