AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Makonda akisisitiza jambo katika mkutano huo ambapo pia aliwaambia kazi kubwa aliyoifanya wakati wa vurugu hizo, ni kumsaidia Warioba kutoka salama pamoja na Mwanasiasa mwenye ulemavu wa macho ambaye pia alikuwa anamuokoa ili asipatwe na dhahama hiyo.
Makonda akiendelea kuelezea kuwa anasikitishwa na vyombo vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii iliyomzulia kwamba yeye ndieye aliyesababisha vurugu wakati siyo. Pia amelaani watu wote waliosababisha vurugu hizo kwamba kitendo hizho kinadhoofisha demokrasia nchini. Habari, picha na Richard Mwaikenda wa Kamanda wa Matukio blog
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mamae zako Makonda mbwa kabisa wewe
ReplyDeleteMakonda ulaaniweee
ReplyDeleteHana adabu huyo mtoto anafikiri yeye maccm wenzake wataishi milele
ReplyDeletemsenge ww... kwan CCM ndo wameleta hizo fujo? au ni watu na akili zao mbaya kama zako. kama mtu kafanya kosa ni yeye na si chama. nyoooookooooo wew.
DeleteNyie wote wajinga tu... hamjaelewa jinsi alivoelezea? na pia kunamtu alimuona makonda akimpiga muheshimiwa? msikurupukie mambo msiyoyaelewa eti sababu watu wanayaongea na nyie myaongee.
ReplyDeleteWasenge utawajua tu
ReplyDeleteHao wanaojiita wanaharakati pamoja na waandishi wa habari na vyombo vyao ukiwaondoa Uhuru na vya Serikali, wote ni UKAWA. Warioba mwenyewe kaulizwa kasema HAJAGUSWA HATA KIDOGO, wao wanang'ang'ania kapigwa, kapigwa.....MMETUMWA? Basi huyo alowatuma kumchafua Makonda na CCM, mkamwambie 'MLANGO MLOINGILIA ULIKUWA NI'WAKUTOKEA' kifupi mmepotea njia.....tafuteni jingine la kuzusha maana ndio kazi inayowaweka mjini........... 'alopewa kapewa CCM nambari wani'..........MPO!!!!!!
ReplyDeletebaambie hao.
ReplyDeletewaambia hao njaa wanaendekeza mpk wameungana chezea wee ccm.na mtakoma
ReplyDelete