AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Halafu kituko kingine eti wali-overpay kwa muda wa miaka 10 mfululizo kutoka 2002 hadi 2012.Yaani mwaka wa kwanza u-overpay,wa pili uoverpay,wa tatu u-overpay hadi ifike 10 ndio uje ugundue leo? Tanesco kwa nini hawakuchukua hatua yeyote wakaamua wawe wana-overpay mwaka hadi mwaka? Hadi ikafika 10?
Jambo moja serious kisheria ni nani aliyekuwa mkaguzi wa hesabu wa TANESCO kwa miaka hiyo yote 10? Si ni CAG huyu huyu au yuko mwingine?.Je kila mwaka alipokagua hakuona hilo tatizo? Ripoti zake za auditing ziko wapi? Je ameliona tatizo hilo la overpaynment mwaka huu baada ya shinikizo la wabunge?
Kama ni kweli CAG ndie alikuwa mkaguzi wa mahesabu ya TANESCO inabidi aburuzwe mahakamani pia kwa kutoa ripoti zisizo kweli za Tanesco miaka 10 mfululizo kuanzia 2002 hadi 2012.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK