AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Wana wa Arusha wasiwe wanyonge, kamanda wao naenda kupambana kwenye uwanja mwingine wa vita lakin wajue tupo pamoja" Alinukuliwa akisema bw. Lema. Hata hivyo alikwepa kujibu swali la mwandishi wa Radio 5 aliyetaka kujua kama pengine ni mbinu ya Lema kukwepa aibu ya kushindwa kwenye uchaguzi huu ikizingatiwa historia yake tata ya utekelezaji wa ahadi zake alizotoa mwaka 2010 na pia ushindani mkali unaomkabili ndani ya chama chake. Imefahamika kuwa wanachama zaidi ya 30 wameshatangaza waziwazi kuchuana na Lema kwenye uchaguzi wa Octoba.
Hii inaweza kuwa ni mbinu ya Lema kukimbia changamoto na kujaribu karata yake mahali pengine
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Alijua moto unaokuja ndani ya chadema tulijipanga tunataka watu wa vitendo sio longolongo. Kaharibu sana chama chetu hata vikao na wananchi hakuna tokea achaguliwe hakuna hata ahadi moja aliyotekeleza , Joshua Nasari kwa muda mfupi kafanya mambo mengi sana.
ReplyDeleteShida ya Lema ni mtu wa jukwaa tu vitendo hana kabisa na anapenda tu kupita na kusifiwa na vijana kuwa ni kamanda wa fujo.